Ni sehemu inayojumuisha mkusanyiko wa masomo ya kielimu ya mpangilio, kwa idadi ya Wanazuoni na Mashekhe wa Ahlu-Sunnah Waljamaa, Mwanafunzi anaweza kupitia hapa kupokea elimu kutoka kwao na kuungana na mapokezi yao (Sanad) yaliyoungana hadi kwa Mtume rehema na amani ziwe juu yake.